Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

KANDA YA PWANI

Kanda hii inaundwa na mikoa mitatu, yaani mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro. Ofisi za makao makuu ya kanda hii zipo katika Jiji la kibiashara la Dar es Salaam na ofisi ndogo iko katika mkoa wa Morogoro. Shughuli kuu za uchumi katika kanda hii ziko katika sekta ya viwanda na biashara. Kwa maana hiyo, shughuli za OSHA katika kanda hii zinalenga kuboresha usalama na afya ya wananchi wanaojishughulisha na shughuli za uzalishaji wa viwandani pamoja na biashara mbalimbali. Sifa kuu ya kanda hii ni kwamba inasimamia zaidi ya asilimia 80 ya sehemu za kazi zilizosajiliwa na OSHA. Ili kuwasiliana na ofisi za kanda hii bonyeza hapa.

Address

Dar es Salaam-Kinondoni, Mhakama Road

P.O. BOX 519, Dar es Salaam

Meet Us

Available Hours to meet

7:30 AM – 9:30 PM

Office Location