Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

Image
  • April 28, 2023- Morogoro

HOTUBA YA MGENI RASMI-SAFETY DAY

Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa. Joyce Ndalichako, katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa Mkoani Morogoro

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2023- Morogoro

HOTUBA YA RAIS WA TUCTA

Hotuba hii ilitolewa na Rais wa shirkisho la vyama vya wafanyakazi nchini, Bw.Tumain Nyamhokya siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahalli pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Morogoro

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2022- DODOMA

HOTUBA YA MGENI RASMI SAFETY DAY 2022

Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa Mkoani Dodoma katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre.

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2022- DODOMA

HOTUBA YA MTENDAJI MKUU WA OSHA, SAFETY DAY 2022

Hotuba hii ilitolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, katika siku ya kilele cha maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya mahali pa kazi  ambayo yalifanyika Aprili 28, 2022 katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre Mkoani Dodoma 

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2022- DODOMA

HOTUBA YA MWAKILISHI WA ATE

Hotuba hii ilitolewa na mwakilishi wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahalli pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2022- DODOMA

HOTUBA YA RAIS WA TUCTA

Hotuba hii ilitolewa na Rais wa shirkisho la vyama vya wafanyakazi nchini, Bw.Tumain Nyamhokya siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahalli pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2019- MBEYA

HOTUBA YA MTENDAJI MKUU WA OSHA

Hotuba hii ilitolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA katika siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahali pa kazi duniani ambayo yalifanyika katika viwanja vya Bustani ya Jiji la Mbeya tarehe 28 Aprili 2019

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2019- MBEYA

HOTUBA YA MGENI RASMI-SAFETY DAY

Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama, katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa mkoani Mbeya.

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2019- MBEYA

HOTUBA YA MWAKILISHI WA ATE

Hotuba hii ilitolewa na mwakilishi wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahalli pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Mbeya.

Soma Zaidi