- April 28, 2026- NJOMBE
SALAMU ZA WAAJIRI
Salamu hizi zilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Bi. Suzanne Ndomba-Doran, katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema, Mkoani Njombe Aprili 28, 2026.
Soma Zaidi