- April 28, 2025- SINGIDA
HOTUBA YA MGENI RASMI SAFETY DAY 2025
Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete, katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Singida.
Soma Zaidi