Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

Image
  • April 28, 2025- SINGIDA

HOTUBA YA MGENI RASMI SAFETY DAY 2025

Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete, katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Singida.

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2025- SINGIDA

HOTUBA YA MTENDAJI MKUU YA SAFETY DAY 2025

Salamu hizi zilitolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya mahali pa kazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Uwanja wa Maadhimisho Mandewa Mkoani Singida tarehe 28 Aprili 2025.

Soma Zaidi
Image
  • April 29, 2024- ARUSHA

HOTUBA YA MGENI RASMI SAFETY DAY 2024

Hotuba hii ilitolewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa mkoani Arusha 2024

Soma Zaidi
Image
  • April 29, 2024- ARUSHA

HOTUBA YA MTENDAJI MKUU WA OSHA SAFETY DAY 2024

Hotuba hii ilitolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA katika siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahali pa kazi duniani ambayo yalifanyika katika viwanja vya GeneraƂ tyre jijini  Arusha

Soma Zaidi
Image
  • April 29, 2024- ARUSHA

HOTUBA YA MKURUGENZI MKAZI WA ILO

Hotuba hii ilitolewa na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kazi (ILO), BI. CAROLINE KHAMATI MUGALLA katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa mkoani Arusha 2024

Soma Zaidi
Image
  • April 29, 2024- ARUSHA

HOTUBA YA MWAKILISHI WA ATE

Hotuba hii ilitolewa na mwakilishi wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahalli pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa Mkoani Arusha.

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2023- Morogoro

HOTUBA YA MGENI RASMI-SAFETY DAY

Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa. Joyce Ndalichako, katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa Mkoani Morogoro

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2023- Morogoro

HOTUBA YA RAIS WA TUCTA

Hotuba hii ilitolewa na Rais wa shirkisho la vyama vya wafanyakazi nchini, Bw.Tumain Nyamhokya siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahalli pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Morogoro

Soma Zaidi
Image
  • April 28, 2022- DODOMA

HOTUBA YA MGENI RASMI SAFETY DAY 2022

Hotuba hii ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi Duniani iliyofanyika kitaifa Mkoani Dodoma katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre.

Soma Zaidi