-
UJUMBE WA MTENDAJI MKUU

Khadija Mwenda
Mtendaji Mkuu
Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) ni chombo cha kusimamia usalama na afya mahala pa kazi kwa kuhakikisha kwamba waajiri wote nchini wanaweka miundo na mifumo inayohakikisha usalama na afya mahala pa kazi vinalindwa.
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la idadi ya waajiri wanaotuma maombi kuomba kukaguliwa au mafunzo ya usalama na afya makazini mwao. Hiki ni kiashiria muhimu cha mafanikio. Taasisi ya OSHA inatia mkazo katika kuelimisha kuliko kuadhibu ili kuhakikisha kwamba waajiri wanawajibika bila shurti.
Hata hivyo, bado tunakabiliwa na changamoto kuu mbili; i) uelewa mdogo miongoni mwa waajiri na wafanyak
Some Zaidi
DIRA
- Kujenga nguvukazi salama na yenye afya njema kwa maendeleo endelevu ya Taifa letu
DHIMA
- Kusimamia, Kuwezesha, Kuelimisha na Kuhamasisha masuala ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi kwa kuweka mifumo thabiti itakayo zuia ajali, magonjwa na vifo pamoja na uharibifu wa mali ili kupunguza gharama za uendeshaji na kukuza uchumi wa Taifa.