Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

Image
  • Monday 11th of September 2023

DANIEL SILLO: OSHA NI WADAU WAKUBWA KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI YETU

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Daniel Baran Sillo amesema kuwa taasisi ya OSHA ni mdau mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi kwa sababu w... Soma Zaidi
Image
  • Saturday 26th of August 2023

Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali kwa mazingira mazuri ya uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeipongeza serikali kwa kujenga mazingira bora ya uwekezaji nchini ikiwemo kuhakikisha kwamba kunakuw... Soma Zaidi
Image
  • Saturday 12th of August 2023

WATUMISHI WA SERIKALI WASHAURIWA KUBADILI MTINDO WA MAISHA KULINDA AFYA ZAO

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka ametoa wito kwa watumishi wa umma kubadili mtindo wa maisha ikiwa ni pamoja na kujihusisha na michezo mbali mba... Soma Zaidi
Image
  • Monday 7th of August 2023

WAZIRI MKUU AKABIDHI OSHA, IDARA YA KAZI MAGARI NA VIFAA VYA BILIONI 4.3

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekabidhi vifaa vya ukaguzi na magari 30 kwa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) pamoja na Idara ya Kazi vilivyonunuliw... Soma Zaidi
Image
  • Thursday 27th of July 2023

OSHA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR KUSHIRIKIANA KUIMARISHA USALAMA NA AFYA KAZINI

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) na Idara ya Usalama na Afya Kazini ya Zanzibar wamesaini makubaliano ya mashirikiano katika usimamizi wa masuala... Soma Zaidi
Image
  • Thursday 6th of July 2023

NAIBU WAZIRI AWABANA WAWEKEZAJI WANAOKIUKA SHERIA ZA KAZI

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi, amefanya ziara katika viwanda vya Mkoa wa Dar es Salaam amb... Soma Zaidi