Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

KANDA YA KASKAZINI

Kanda ya Kaskazini inaundwa na mikoa minne, ambayo ni; Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga. Ofisi za makao makuu ya kanda hii zipo Arusha kwenye makutano ya barabara ya Uhuru/Metropol na ofisi ndogo iko katika mkoa wa Tanga. Sifa kuu ya kanda hii ni uwepo wa shughuli nyingi zinazohusiana na biashara ya utalii, kwani kuna vivutio vingi vya watalii kama vile Mbuga za Wanyama za Tarangire, Ngorogoro na Serengeti, tukitaja baadhi tu. OSHA ina jukumu kubwa katika kuhakikisha usalama na afya ya wafanyakazi na wananchi wengine wanaojishughulisha na sekta ya utalii na shughuli  nyingine za kiuchumi katika kanda hii. Ili kuwasiliana na ofisi za kanda hii bonyeza hapa.

Address

Arusha-Along Uhuru Road/Metropal

P.O BOX 47, Arusha

Meet Us

Available Hours to meet

7:30 AM – 9:30 PM

Office Location