Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

KANDA YA ZIWA

Kanda hii imeundwa na mikoa ya Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu, Kagera na Mara. Ofisi za makao makuu ya kanda zipo katika Jiji la Mwanza barabara ya Stesheni na ofisi ndogo iko mjini Bukoba mkoani Kagera. Kanda hii inajulikana kwa shughuli za kiuchumi zinazohusiana na madini na inazo kampuni kubwa zinazojishughulisha na uchimbaji wa madini zinazofanya shughuli zake katika mikoa mbalimbali ndani ya kanda hii. OSHA inahusika na usalama na afya za wafanyakazi wa makampuni ya uchimbaji wa madini pamoja na wachimbaji wadogo na wa kati. Hivyo, inahakikisha kwamba watu wanaofanya kazi katika migodi na sekta nyingine wanafuata sheria na kanuni za usalama na afya.

Address

Mwanza, Along Station Road

P.O BOX 3087, Mwanza

Meet Us

Available Hours to meet

7:30 AM – 9:30 PM

Office Location