Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

KANDA YA KATI

Kanda hii inaundwa na mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora na Kigoma na ofisi kuu ya kanda ipo Jijini Dodoma barabara ya Askari. Makao Makuu ya nchi Tanzania yako katika kanda hii na ndipo ofisi kuu za makao makuu ya kanda zilipo. Zipo shughuli za kiuchumi mchanganyiko kuanzia shughuli za kilimo, yakiwemo mashamba mashuhuri ya zabibu hadi shughuli za kibiashara ambazo zinafaidika kutokana na kwamba mkoa wa Dodoma upo katikati ya mikoa mingine. OSHA inahakikisha usalama na afya ya wafanyakazi wanaofanya shughuli mbalimbali za kiuchumi katika kanda hii. 

Address

Dodoma, Along Askari Road

P.O BOX 1818, Dodoma

Meet Us

Available Hours to meet

7:30 AM – 9:30 PM

Office Location