TUZO ZA USALAMA NA AFYA 2025
Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, akimkabidhi Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) Kanda ya Afrika Mashariki, Caroline Mugalla, tuzo ya kutambua mchango wake katika kuimarisha usalama na afya mahali pa kazi nchini.