MAFUNZO KWA WATENDAJI WA MAHAKAMA
Mkufunzi wa Mafunzo ya Huduma ya Kwanza Mahali pa Kazi, Moteswa Meda, akitoa mafunzo ya huduma ya kwanza kwa vitendo katika program ya mafunzo kwa watendaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Kati yaliyotolewa na OSHA hivi karibuni.