Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WAKALA WA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

MAFUNZO WACHIMBAJI WADOGO BUKOMBE

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi.Khadija Mwenda, akisisitiza juu ya umuhimu wa matumizi sahihi ya vifaa kinga baada ya kukamilika zoezi la kukabidhi vifaa kinga kwa wanachama wa Umoja wa Wanawake Wachimbaji Bukombe (WAWABU) katika hafla ya kufunga mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi yaliyotolewa kwao na OSHA.