Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY

OSH SEMINAR TO ARTISANAL MINERS IN BUKOMBE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na washiriki wa mafunzo katika hafla ya kufunga mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi kwa wanachama wa Umoja wa Wanawake Wachimbaji Bukombe (WAWABU).