Occupational Safety and Health Authority
  +255-22-2760548 / 2760552       info@osha.go.tz                     

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY

Online Services

Card image cap
WORKPLACE INFORMATION MANAGEMENT SYSTEM (WIMS)

Mfumo wa Usimamzi wa Maeneo ya Kazi wa OSHA unawawezesha wamiliki au wasimamizi wa maeneo ya kazi kufanya usajili wa maeneo yao, kulipia gharama za huduma, kujiandikisha kwa ajili ya mafunzo, kuomba kufanyiwa ukaguzi pamoja na kuwasilisha taarifa za ajali pindi zinapotokea.

Access Services
Card image cap
Goverment Email

Mfumo wa Baruapepe Serikalini(gms)

Mfumo wa Baruapepe Serikalini (GMS) ni mfumo salama wa mawasiliano na kubadilishana taarifa Serikalini. GMS ina mionekano miwili tofauti kwa mteja ambayo ni tovuti na desktop. Kwa kutumia mwonekano wa tovuti, masharti yanayotakiwa ni kuvinjari kwenye kitumi kilichounganishwa na intaneti. 

Access Services
Card image cap
Government e-Office System (GeOS)

Mfumo wa Ofisi Mtandao (GeOS
Mfumo wa Ofisi Mtandao umetengenezwa ili kuwezesha na kurahisisha shughuli za utawala za kila siku ndani ya Serikali. Shughuli hizo zinahusu mzunguko wa mafaili na nyaraka ndani na miongoni mwa taasisi za umma.

Access Services
Card image cap
TANZANIA NATIONAL E-PROCUREMENT SYSTEM

Mfumo wa Usimamzi wa Maeneo ya Kazi wa OSHA unawawezesha wamiliki au wasimamizi wa maeneo ya kazi kufanya usajili wa maeneo yao, kulipia gharama za huduma, kujiandikisha kwa ajili ya mafunzo, kuomba kufanyiwa ukaguzi pamoja na kuwasilisha taarifa za ajali pindi zinapotokea.

Access Services
Card image cap
E-Feedback

e-Mrejesho is a system for sending and receiving complaints and inquiries from citizens.

Access Services